Monday, July 30, 2018

CHANGAMOTO YA USHIRIKI MDOGO WA VIJANA KWENYE KILIMO

Zaidi ya 50% ya watanzania ni Vijana. Karibia 65% ya Watanzania wanaishi kwa kutegemea sekta ya kilimo ambayo ni sekta kubwa na inachangia 30% ya GDP. Pamoja na sekta hii kutegemewa na idadi kubwa ya watanzania bado ushiriki wa vijana kwenye kilimo ni mdogo sana. Vijana wanaama kutoka vijijini kwenda Mjini na hivyo kuacha kazi ya kilimo kwa wazee. Ni wakati sasa Vijana kushiriki kwenye Kilimo biashara


Zaidi ya 50% ya watanzania ni Vijana. Karibia 65% ya Watanzania wanaishi kwa kutegemea sekta ya kilimo ambayo ni sekta kubwa na inachangia 30% ya GDP. Pamoja na sekta hii kutegemewa na idadi kubwa ya watanzania bado ushiriki wa vijana kwenye kilimo ni mdogo sana. Vijana wanaama kutoka vijijini kwenda Mjini na hivyo kuacha kazi ya kilimo kwa wazee. Ni wakati sasa Vijana kushiriki kwenye Kilimo biashara


No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...