Monday, July 30, 2018

CHANGAMOTO YA USHIRIKI MDOGO WA VIJANA NA WANAWAKE KWENYE MASUALA YA UMMA

Ushiriki mdogo wa Vijana na Wanawake kwenye mikutano ya maendeleo ngazi ya mtaa/kijiji au Kitongoiji ni moja ya changamoto zinazolalamikiwa na Viongozi wa serikali za mitaa na kata, na inakwamisha shughuli ya kuandaa vipaumbele, mipango, mikakati na mgawanyo wa rasilimali kwenye ngazi husika.
Kama kijana au mwanamke unadhani ni sababu gani zinapelekea kutoshiriki kwako?

No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...