Monday, July 30, 2018

ASDP2 & NSYIA 2-16-2021

Ndg. Revelian Ngaiza - kutoka wizara ya Kilimo akiwezesha vijana wa Mtwara na Lindi kwenye eneo la fursa na mikakati ya serikali kusaidia vijana kishiriki kwa wingi kwenye Kilimo biashara. Warsha iliyoandaliwa na Door of Hope kwa Kushirikiana na ANSAF na AMSHA

No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...