Tunamshukuru Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara mikindani kwa kufunga mafunzo ya kukuza uchumi na ujasiliamali kwa wanawake yaliyofanyika kwa siku 2.
![]() |
Wanawake katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani |
![]() |
Picha ya pamoja na Mkurugenzi wa manispaa, WEOs, CDOs na watumishi wa DHWYT |
![]() |
Mkurugenzi Door of Hope Mr. Clemence Clelinus Mwombeki akitoa ufafanuzi na taarifa fupi juu ya mpango wa taasisi kuwawezesha wanawake kwenye wilaya ya Mtwara |
![]() |
Mkurugenzi akitoa neno kwa wanawake Wajasiliamali |
![]() |
Kuwasili kwa Mkurugenzi ukumbini |
![]() |
Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii akiongea na wanawake walioshiriki Mafunzo ya Kuimarisha uchumi na Ujasiriamali |
No comments:
Post a Comment