Tuesday, July 31, 2018

WANAWAKE NA UJASIRIAMALI

Msikilize Mama mkazi wa Mtwara aliyejengewa uwezo wa elimu ya kukuza uchumi na mbinu za kiujasiriamali akiwashauri wanawake juu ya matumizi sahihi ya mikopo na huduma kwa wateja. Door of Hope ni shirika linalowawezesha wanawake na vijana nchini Tanzania.

No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...