Tuesday, July 31, 2018

UIMARISHAJI WA UCHUMI NA UJASIRIAMALI KWA WANAWAKE


Ukimsaidia Mwanamke Umesaidia Jamii, Vijana ni nguvu kazi ya Taifa. TUWAWEZESHE
Msikilize Mkurugenzi wa Door of Hope Mr. Clemence Clelinus akisisitiza umuhimu wa elimu ya fedha kwa wanawake na vijana wajasiriamali na wanaokopeshwa fedha na Halmashauri au taasisi za fedha.

No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...