Tuesday, July 31, 2018

ECONOMIC STRENGTHENING AND ENTREPRENEURSHIP TRAINING TO WOMEN AND YOUTH

Door of Hope imefungua programu maalumu ya Kuwawezesha vijana na wanawake nchini kwenye masuala ya kuboresha kipato kupitia shughuli zao za kiuchumi na Ujasiriamali. Msikilize Mkurugenzi Mtendaji Mr. Clemence Clelinusakitoa ufafanuzi mbele ya Mkuu wa wilaya juu ya programu hiyo na jinsi itakavyo wanufaisha wanawake wa Mtwara na baadae mikoa Mingine

No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...