Tuesday, July 31, 2018

SIKU YA WANAKWAKE DUNIANI


Shirika la Door of Hope to Women and Youth Tanzania kwa kushirikiana na VSO Tanzania wameandaa Mdahalo wa tafakari na majadiliano (Breakfast panel discussion). Mdahalo huu ulilenga kujadili kwa kina maswala ya #WanawakeNaUchumi pamoja na #WanawakeNaAfya. Hii ni mwendelezo na kuenzi siku ya wanawake Duniani.
Mdahalo huu uliwakutanisha wanawake wa Wilaya ya Mtwara, Asasi za Kiraia, Watu kutoka sekta binafsi, Maafisa wa Serikali kutoka idara mahususi, waandishi wa habari na wanafunzi mbalimbali wa shule na vyuo.
Hakuna ukombozi wa mwanamke kiuchumi bila Afya bora.
Hakuna upiganiaji wa haki kwa wanawake bira Afya bora

No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...