Tuesday, July 31, 2018

NINI KIFANYIKE KUONGEZA USHIRIKI WA VIJANA NA WANAWAKE KWENYE MIKUTANO YA MAENDELEO NGAZI YA KATA, VIJIJI NA MITAA?

Mada 2: Nini kifanyike kuongeza ushiriki wa Vijana na Wanawake kwenye mikutano ya maendeleo ngazi ya kata, vijiji na mitaa?

NB: Shughuli zote za mipango, usimamizi na mgawanyo wa rasilimali ufanyika kuanzia ngazi ya mtaa/kijiji ; hivyo ushiriki wa Vijana na Wanawake kwa kiwango kikubwa uongeza chachu na michango juu ya Mikakati na usimamizi wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...