Tuesday, July 31, 2018

ECONOMIC STRENGTHENING TO WOMEN AND YOUTH

Uzinduzi wa Shughuli ya Mafunzo ya Ujasiliamali na Kukuza uchumi kwa wanawake wa wilaya ya Mtwara. Door of Hope to Women and Youth Tanzania kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wamefadhili na kuendesha Mafunzo maalumu kwa Vikundi vya akina mama wanaotarajia kupata mikopo kutoka halmashauri kama sehemu ya 10% ya mapato ya ndani. Mafunzo haya yatawanufanisha takribani wanawake 500 wa wilaya ya Mtwara pekee.
Image may contain: 3 people, people sitting and indoor
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara akizindua programu ya mafunzo kwa wanawake wajasiliamali iliyoandaliwa na DHWYT

No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...