Monday, July 30, 2018

VIJANA NA MKAKATI WA USHIRIKISHAJI VIJANA KWENYE KILIMO 2016-2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Door of Hope to Women and Youth Tanzania (DHWYT) Ndg. CLEMENCE, Clelinus MWOMBEKI akiongea na washiriki wa warsha ya kuwezesha vijana wa Mkoa wa Mtwara na Lindi akitoa ufafanuzi wa lengo la warsha na kilichowasukuma kujengea uwezo vijana wa mikoa hiyo kwenye mkakati wa kitaifa wa ushiriki wa vijana katika kilimo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Door of Hope to Women and Youth Tanzania (DHWYT) Ndg. CLEMENCE, Clelinus MWOMBEKI akiongea na washiriki wa warsha ya kuwezesha vijana wa Mkoa wa Mtwara na Lindi akitoa ufafanuzi wa lengo la warsha na kilichowasukuma kujengea uwezo vijana wa mikoa hiyo kwenye mkakati wa kitaifa wa ushiriki wa vijana katika kilimo.




No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...