Wednesday, August 1, 2018

VIJANA NA KILIMO, KILIMO NI BIASHARA -KILIMO NI UTI WA MGOMGO WA TAIFA, VIJANA NI NGUVU KAZI YA TAIFA

Uimarishaji wa Uchumi na Ujasiriamali kwa Vijana ni moja ya programu kubwa ya DHWYT. Tunawezesha vijana Kupitia kukuza ushiriki wao kwenye kilimo kwa kushawishiumiriki wa ardhi, upatikanaji wa Mikopo, Masoko na Uboreshaji wa huduma na maligafi za kilimo kutoka mashambani. #Kilimobiashara #Vijananinguvukaziyataifa #Vijananakilimo
Msikilize Mkrugenzi Mtendaji wa Door of Hope to Women and Youth Tanzania Mr. Clemence Clelinus


No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...