Wednesday, August 1, 2018

DOOR OF HOPE TO WOMEN AND YOUTH TANZANIA AT LINDI REGION

#LindiMC Afisa kutoka shirika la Door of Hope atembelea Mkoa wa Lindi na Kufanya Mazungumzo na Ofisi ya Katibu tawala Mkoa, Ofisi ya Mkurugenzi wa Lindi Mjini, na Watendaji wa kata kutoka kata kadhaa za Halmashauri hiyo. Mkoa wa Lindi ni miongoni mwa mikoa 5 inayonufaika na program mbalimbali za shirika ikiwemo programu za Uimalishaji wa kipato na Ujasiriamali kwa vijana na wanawake, Programu ya Elimu ya Uraia, Programu ya Vijana na utawala bora wa rasilimali, na programu za ufuatiliaji wa Uwajibikaji jamii. 
Lengo ni kuhakikisha vijana na wanawake wa Kitanzania wanawezeshwa na kutumia akili na nguvu zao, kubaini na kutumia fursa za kitaifa kwa ajiri ya maendeleo endeleo ya kijamii na kiuchumi. 
Mikoa mingine ni Mtwara, Kagera na Kigoma
Image may contain: 1 person, sitting, table and indoor
Image may contain: 2 people, people sitting and indoor
Image may contain: one or more people, people sitting, table and indoor

No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...