Wednesday, August 1, 2018

DOOR OF HOPE TO WOMEN AND YOUTH TANZANIA AT MTWARA TANZANIA


Watumishi wa Shirika la Door of Hope to Women and Youth Tanzania wakifanya kikao na Mkurugenzi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani. Pamoja na mambo mengi yaliyozungumzwa, tumekubaliana namna bora ya kuwawezesha wanawake kwenye maswala ya Ujasiliamali. 
Shirika linataraji kuwawezesha vijana na wanawake kwenye Halmashauri Saba nchini moja wapo ni Mtwara Mikindani. 
Image may contain: 3 people, people sitting, table and indoor

No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...