Wednesday, August 1, 2018

SOCIAL ACCOUNTABILITY MONITORING AND IMPROVEMENT OF SOCIAL SERVICES (SAM AND SOCIAL RIGHTS)


Uundaji wa timu za SAM kwenye wilaya ya Mtwara, lengo ni kuboresha upatikanaji wa huduma za jamii kama Elimu, Maji, Afya, na miundo mbinu. 

Social Accountability Monitoring- SAM ni dhana shirikishi kata ya wananchi na viongozi au watoa huduma yenye lengo la kuhimiza uwazi na uwajibikaji hususani kwenye utekelezaji wa miradi ya jamii/umma. 

Zoezi la uundaji wa Timu za SAM ngazi ya kata na wilaya umasimamiwa na kuratibiwa na shirika la Door of Hope.

No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...