Wednesday, August 1, 2018

PARTNERSHIP AND SOLIDARITY

We are pleased to be visited by officials from the USA 🇺🇸 Embassy in Tanzania 🇹🇿. We've had a productive conversation.

Tumefarijika kutembelewa na Maafisa kutoka Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania. Tumekuwa na mazungumzo yenye tija.
Mkurugenzi wa Door of Hope akiwa anaongea na Maafisa kutoka Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania - Ofisi za DHWYT Mtwara Tanzania
Image may contain: 4 people, people smiling, people standing
Picha ya pamoja na baadhi ya maafisa wa Door of Hope.

No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...