Wednesday, August 1, 2018

FORMULATION OF SOCIAL ACCOUNTABILITY TEAM - WARD AND DISTRICT LEVEL



Zoezi la Uundaji wa kamati za Ufuatiliaji wa Uwajibikaji kwa jamii (SAM) Unaendelea katika wilaya ya Mtwara. Lengo ni kushirikisha wananchi kwenye uboreshaji wa huduma za jamii kama Afya, Maji, Elimu, na miundo mbinu. 

Shirika la Door of Hope linasimamia zoezi la uundaji wa kamati hizi kwenye baadhi ya kata na mwisho kuunda kamati ya wilaya.

No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...