Wednesday, August 1, 2018

DOOR OF HOPE TZ & VSO TZ - SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

The success of non-governmental organizations is being developed by working with other stakeholders. The DHWYT Director has been visited by VSO Tanzania Officers to discuss how best to empower women at this time when we are heading to celebrate the international women's ðŸšº day.

Mafanikio ya mashirika yasiyokuwa ya kiseriali yanachangiwa kwa kufanya kazi kwa ushirikiano na wadau wengine. Mkurugenzi wa DHWYT ametembelewa na maafisa wa VSO kujadili namna bora ya kuwawezesha wanawake hususani wakati huu tunapoelekea kuadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake.
Image may contain: one or more people, people sitting and indoor

No comments:

Post a Comment

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...