Msikilize Mama mkazi wa Mtwara aliyejengewa uwezo wa elimu ya kukuza uchumi na mbinu za kiujasiriamali akiwashauri wanawake juu ya matumizi sahihi ya mikopo na huduma kwa wateja. Door of Hope ni shirika linalowawezesha wanawake na vijana nchini Tanzania.
No comments:
Post a Comment