Door of Hope imefungua programu maalumu ya Kuwawezesha vijana na wanawake nchini kwenye masuala ya kuboresha kipato kupitia shughuli zao za kiuchumi na Ujasiriamali. Msikilize Mkurugenzi Mtendaji Mr. Clemence Clelinusakitoa ufafanuzi mbele ya Mkuu wa wilaya juu ya programu hiyo na jinsi itakavyo wanufaisha wanawake wa Mtwara na baadae mikoa Mingine
No comments:
Post a Comment