![]() |
| Tarehe 16 - 22 march kila mwaka ni wiki ya maji ulimwenguni. Lengo namba 6 la Malengo endelevu ya Dunia ni Maji safi na usafi wa Mazingira. Takribani watu Milioni 663 ulimwenguni hawapati na hawana vyanzo vya maji safi. Nchini Tanzania, tatizo la maji bado ni kubwa sana na watu wengi hawapati maji na wengine hawana maji safi. Tukiwa tunaelekea wiki ya maji kesho, leo DOOR OF HOPE tumetembelea uongozi wa mamlaka ya maji safi Mtwara, MTUWASA na kupata nafasi ya kushirikishana namna bora tunaweza kuongeza upatikanaji wa maji, ulindaji wa miundombinu na vyanzo vya maji, na kuwashirikisha wananchi kulinda na kutunza miundo mbinu hiyo. Pichani ni Mkurugezi wa MTUWASA na ED- DHWYT na maafisa wa shirika. |
Tuesday, July 31, 2018
LENGO NAMBA SITA LA MALENGO ENDELEVU YA DUNIA NI MAJI - WIKI YA MAJI NA HUDUMA BORA ZA MAJI NCHINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA
Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...
-
Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...
-
Shirika la Door of Hope to Women and Youth Tanzania ni miongoni mwa Mashirika yaliyopata fursa ya kushiriki kwenye mchakato wa kupitia na k...
-
Organization Background Door of Hope to Women and Youth Tanzania (DHWYT) is a Non-governmental and non-profit organization in Tanzania...
-
It is our honour to be among of few Organizations attended capacity building workshop to THRDC's Zonal Coordinating Units (ZCU) and a...
-
Door of Hope to women and Youth Tanzania (DHWYT) is a member of Tanzania Association of Non - governmental Organization (TANGO) and today w...
-
DHANA YA MPANGO WA UHAMASISHAJI NA UKUSANYAJI WA RASILIMALI 2018-2020 "Tuwawezeshe kwa Rasilimali zetu" ...
-
We are participating to the capacity building training of Tanzania Child Rights Forum (TCRF) members on the United Nations Committee on the...
-
Ufuatiliaji wa Uwajibikaji kwa Jamii/ Social Accoutability Monitoring- SAM ni dhana shirikishi kati ya wanachi na Viongozi wa serikali ...

No comments:
Post a Comment