Tuesday, September 18, 2018

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shirika la Door of Hope to Women and Youth Tanzania, Mkurugenzi Mtendaji Ndg. CLEMENCE, Clelinus MWOMBEKI, amekutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Pamoja na mambo mengi waliozungumza, Mkurugenzi amepata nafasi ya kumueleza Waziri Mkuu programu mbalimbali za Uwezeshaji Vijana na Wanawake nchini Tanzania na namna Shirika lilivyokuwa na mpango wa kuwafikia vijana na wanawake wengi wa pembezoni. Lengo la Shirika ni Kuwa na Vijana na Wanawake wa Kitanzania waliowezeshwa, wenye uwezo wa kutumia nguvu na akili zao, kubaini na kutumia fursa za kitaifa kwa ajili ya maendeleo endelevu ya Kiuchumi na Kijamii. Baadhi ya programu zinazotekelezwa ni pamoja na Ufuatiliaji wa Uwajibikaji kwa jamii - moja ya programu inayolenga kukuza ushiriki wa vijana wa wanawake kwenye masuala ya umma na hivyo kuongeza uwazi na uwajibikaji kwenye utekelezaji wa Miradi ya maendeleo inayotumia fedha za umma; programu nyingine ni Uimarishaji wa Uchumi na Ujasiriamali, Elimu ya Uraia, Afya unasihi wa Lishe na Huduma, pamoja na Utawala bora kwenye kwenye usimamizi, uvunaji na utumiaji wa mapato yatokanayo na rasilimali gesi, Mafuta na madini. 
Image may contain: 3 people, people standing
Mkurugenzi Mtendaji wa Door of Hope to Women and Youth Tanzania Ndg. CLEMENCE MWOMBEKI akifanya mazungumzo na Mhe. Waziri Mkuu kwenye Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.
Image may contain: one or more people and people standing
Image may contain: one or more people and people standing

SEMINA YA MAPITIO NA UTUNGAJI WA SERA MPYA YA MASHIRIKA YASIYOKUWA YA KISERIKALI

Shirika la Door of Hope to Women and Youth Tanzania ni miongoni mwa Mashirika yaliyopata fursa ya kushiriki kwenye mchakato wa kupitia na kutoa maoni ya uboreshaji wa sera ya Mashirika Yasiyokuwa ya Kiserikali na kupata nafasi ya kuudhuria kikao kazi cha siku mbili Bungeni Dodoma ili kupitia kwa kwa kina pamoja na wadau wengine maeneo ya msingi ya uzingatiaji kwenye utungaji wa sera mpya. Tayari kikao kazi kimemaliza uandaaji wa Rasimu ya Sera tayari kwa kuiwasirisha kwenye Wizara husika kama pendekezo la wadau wa sekta. Kikao hiki kimeudhuriwa na Shirika mbalimbali kutoka Tanzania bara, Maafisa wa serikali, Msajiri wa NGOs na kimendaliwa na Baraza la Taifa la mashirika yasiyokuwa ya kiserikali (NaCoNGO).
Image may contain: 4 people, people smiling, people sitting and indoor
Pembeni Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika  la DOOR OF HOPE akifuatilia mjadala kwenye Ukumbi wa BUNGE - DODOMA
Image may contain: 2 people, people sitting

Saturday, September 15, 2018

THRDC ZONAL COORDINATING UNITS

It is our honour to be among of few Organizations attended capacity building workshop to THRDC's Zonal Coordinating Units (ZCU) and a validation of ZCU Operational Guidelines. 
Our Executive Directors Mr. Clemence MWOMBEKI effectively participated on the workshop and was lastly awarded the certificate as Zonal Coordinator (Mtwara, Lindi and Ruvuma). Also as an Organization we received the respect of being appointed as Zonal Coordinating Unit.

Integrity, Team work, Creativity, Innovation, Respect, and Transparency have been always our core Values
Image may contain: 2 people, people sitting
DHWYT Executive Director making a point during the training.
Image may contain: 2 people, people smiling, people standing
Mr. Clemence Mwombeki, Executive Director at DHWYT receiving the certificate as a recognition for his fully participation during the ZCU training. At right is Mr. Onesmo Olengurumwa National Coordinator THRDC handing over the Certificate him.

Friday, September 14, 2018

Door of Hope to women and Youth Tanzania (DHWYT) is a member of Tanzania Association of Non - governmental Organization (TANGO) and today we are participating Annual General Meeting held at the New Dodoma Hotel in Dodoma.
Image may contain: one or more people and people sittingImage may contain: one or more people, people sitting and indoor
Image may contain: one or more people, people standing, people sitting and indoor

CAPACITY BUILDING TRAINING OF TANZANIA CHILD RIGHTS FORUM (TCRF) MEMBERS

We are participating to the capacity building training of Tanzania Child Rights Forum (TCRF) members on the United Nations Committee on the Rights of Children (CRC) Reporting and their role in engaging with the treaty body Organ. Morogoro Tanzania
Image may contain: 9 people, people smiling, beard and outdoorImage may contain: 2 people, people sitting, table and indoor

MKURUGENZI WA DOOR OF HOPE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MHE. WAZIRI MKUU WA TANZANIA

Katika jitihada za kushirikisha wadau na viongozi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Watanzania kazi na programu zinazotekelezwa na Shir...